• This is default featured slide 1 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 2 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 3 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 4 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 5 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

IMPORTANCE OF WATER IN THE BODY



 https://www.passtechusa.com/g1q91wnh20?key=74e6e36ce8cf907fc9a036da06d4eda8
Did you know that your body weight is approximately 60 percent water? Your body uses water in all its cells, organs, and tissues to help regulate its temperature and maintain other bodily functions. Because your body loses water through breathing, sweating, and digestion, it's important to rehydrate by drinking fluids and eating foods that contain water. The amount of water you need depends on a variety of factors, including the climate you live in, how physically active you are, and whether you're experiencing an illness or have any other health problems.
Water Protects Your Tissues, Spinal Cord, and Joints
Water does more than just quench your thirst and regulate your body's temperature; it also keeps the tissues in your body moist. You know how it feels when your eyes, nose, or mouth gets dry? Keeping your body hydrated helps it retain optimum levels of moisture in these sensitive areas, as well as in the blood, bones, and the brain. In addition, water helps protect the spinal cord, and it acts as a lubricant and cushion for your joints.
Water Helps Your Body Remove Waste
 Adequate water intake enables your body to excrete waste through perspiration, urination, and defecation. The kidneys and liver use it to help flush out waste, as do your intestines. Water can also keep you from getting constipated by softening your stools and helping move the food you've eaten through your intestinal tract. However, it should be noted that there is no evidence to prove that increasing your fluid intake will cure constipation.


Water Aids in Digestion
Digestion starts with saliva, the basis of which is water. Digestion relies on enzymes that are found in saliva to help break down food and liquid and to dissolve minerals and other nutrients. Proper digestion makes minerals and nutrients more accessible to the body. Water is also necessary to help you digest soluble fiber. With the help of water, this fiber dissolves easily and benefits your bowel health by making well-formed, soft stools that are easy to pass.
Water Prevents You From Becoming Dehydrated
Your body loses fluids when you engage in vigorous exercise, sweat in high heat, or come down with a fever or contract an illness that causes vomiting or diarrhea. If you're losing fluids for any of these reasons, it's important to increase your fluid intake so that you can restore your body's natural hydration levels. Your doctor may also recommend that you drink more fluids to help treat other health conditions, like bladder infections and urinary tract stones. If you're pregnant or nursing, you may want to consult with your physician about your fluid intake because your body will be using more fluids than usual, especially if you're breastfeeding.
How Much Water Do You Need?
There's no hard and fast rule, and many individuals meet their daily hydration needs by simply drinking water when they're thirsty, according to a report on nutrient recommendations from the Institute of Medicine of the National Academies. In fact, most people who are in good physical health get enough fluids by drinking water and other beverages when they're thirsty, and also by drinking a beverage with each of their meals, according to the Centers for Disease Control and Prevention. If you're not sure about your hydration level, look at your urine. If it's clear, you're in good shape. If it's dark, you're probably dehydrated.
Share:

LONG TERMS (TERMINOLOGY) OF THE TECHNOLOGICAL TERMS



1.) *GOOGLE* - Global Organization Of Oriented Group Language Of Earth.
2.) *YAHOO* - Yet Another Hierarchical Officious Oracle.
3.) *WINDOW* - Wide Interactive Network Development for Office work Solution.
4.) *COMPUTER* - Common Oriented Machine Particularly United and used under Technical and Educational Research.
5.) *VIRUS* - Vital Information Resources Under Siege.
6.) *UMTS* - Universal Mobile Telecommunicati ons System.
7.) *AMOLED* - Active-matrix organic light-emitting diode.
8.) *OLED* - Organic light-emitting diode.
9.) *IMEI* - International Mobile Equipment Identity.
10.) *ESN* - Electronic Serial Number.
11.) *UPS* - Uninterruptible power supply.
12. *HDMI* - High-Definition Multimedia Interface.
13.) *VPN* - Virtual private network.
14.) *APN* - Access Point Name.
15.) *SIM* - Subscriber Identity Module.
16.) *LED* - Light emitting diode.
17.) *DLNA* - Digital Living Network Alliance.
18.) *RAM* - Random access memory.
19.) *ROM* - Read only memory.
20.) *VGA* - Video Graphics Array.
21.) *QVGA* - Quarter Video Graphics Array.
22.) *WVGA* - Wide video graphics array.
23.) *WXGA* - Widescreen Extended Graphics Array.
24.) *USB* - Universal serial Bus.
25.) *WLAN* - Wireless Local Area Network.
26.) *PPI* - Pixels Per Inch.
27.) *LCD* - Liquid Crystal Display.
28.) *HSDPA* - High speed down-link packet access.
29.) *HSUPA* - High-Speed Uplink Packet Access.
30.) *HSPA* - High Speed Packet Access.
31.) *GPRS* - General Packet Radio Service.
32.) *EDGE* - Enhanced Data Rates for Globa Evolution.
33.) *NFC* - Near field communication.
34.) *OTG* - On-the-go.
35.) *S-LCD* - Super Liquid Crystal Display.
36.) *O.S* - Operating system.
37.) *SNS* - Social network service.
38.) *H.S* - HOTSPOT.
39.) *P.O.I* - Point of interest.
40.) *GPS* - Global Positioning System.
41.) *DVD* - Digital Video Disk.
42.) *DTP* - Desk top publishing.
43.) *DNSE* - Digital natural sound engine.
44.) *OVI* - Ohio Video Intranet.
45.) *CDMA* - Code Division Multiple Access.
46.) *WCDMA* - Wide-band Code Division Multiple Access.
47.) *GSM* - Global System for Mobile Communications.
48.) *WI-FI* - Wireless Fidelity.
49.) *DIVX* - Digital internet video access.
50.) *APK* - Authenticated public key.
51.) *J2ME* - Java 2 micro edition.
52.) *SIS* - Installation source.
53.) *DELL* - Digital electronic link library.
54.) *ACER* - Acquisition Collaboration Experimentation Reflection.
55.) *RSS* - Really simple syndication.
56.) *TFT* - Thin film transistor.
57.) *AMR*- Adaptive Multi-Rate.
58.) *MPEG* - moving pictures experts group.
59.) *IVRS* - Interactive Voice Response System.
60.) *HP* - Hewlett Packard.
Share:

ADVANTAGE AND DIS ADVANTAGE OF MODERN TECHNOLOGY





Technology today has made life easier and better. As we look at the technologies, what is modern technology? Modern technology is machinery that makes life easier. For example, microwave ovens cook food easily without using any stoves and making a big mess. And dishwashers put all dirty dishes into the dishwasher and it washes them automatically. Modern technology makes things very easy to use and save time comparing it in the old fashion way. Often a country's level of modernization is measured by the ease with which people can communicate with each other. But modern technology also has created problems. Technology also creates financial problems in families because most technologies are very expensive to buy like the computers, televisions, refrigerators, DVD system, and home theatre systems. People who cannot afford to buy this kind of technology live a stressful life. But there are more advantages in technologies than disadvantages. How is technology an advantage? Today technology is very important in society because it makes life easier to live on and less time consuming. For example, if people want to wash their clothes, the only thing he need is machine that can wash the clothes and dries them. Another example is, some decade ago, there were no gas stoves or electric stoves, by getting firewoods and lightning them up for cooking. But now the inventor invented a microwave or gas or electric stove to cook the food easier and less time consuming. There are so many reasons why technology has changed people's lives. Now most of the people live in a comfortable environment where technology could do everything for them. Another thing is that technology has created diversity in employment. Today without a degree or certificate young people cannot have or get better job. This is a problem for those who don't go to school, uneducated, and unqualified. The only job they'll be able to get is in a fast food restaurant or

This Essay is Approved by Our Editor






Essays Related to Modern technology makes better life

Share:

MADHARA YA ZINAA KISAYANSI

 https://www.passtechusa.com/g1q91wnh20?key=74e6e36ce8cf907fc9a036da06d4eda8

Wengi katika wanadamu
wanajaribu kuhoji kwa nini
Mwenyezi Mungu anakataza zinaa
wakati kuingiliana baina ya mke na
mume na kuingiliana baina ya
hawara na hawara mambo ni yale
yale, sasa kwa nini akataze???
Kwanza ifahamike kwamba
Mwenyezi Mungu akikataza jambo
basi ujue lina hasara kwetu kwa
kulifuata na lina faida kubwa kama
tukiliacha. Tofauti na wanadamu,
kwa mfano; Serikali inakataza
pombe ya Gongo kwa madai kuwa
ni haramu wakati Bia pia ni pombe
lakini ni halali! Hiyo ni kwa mujibu
wa serikali za ulimwengu. Lakini
katika UISLAMU Mwenyezi Mungu
akisema pombe ni haramu basi
iwe Gongo,Bia,n.k zote ni HARAMU.
Ndivyo pia ilivyo ZINAA, leo
ulimwenguni kuna zinaa ya halali
wenyewe wanaita “zinaa salama
ya kutumia Condom” lakini uislamu
umeharamisha kabisa zinaa, iwe
ya Condom au bila Condom huo
ndio uislamu na ndiyo amri za
Mwenyezi Mungu.
Mwenyezi Mungu anasema katika
Qur’an, sura ya 17 Bani Israil aya ya
32;
“Na wala msiikaribie ZINAA, hakika
ya hiyo zinaa ni uchafu na njia
mbaya”
Hapo Mwenyezi Mungu amekataza
Zinaa, tena amesema hiyo zinaa ni
uchafu. Haya ni maneno aliyosema
Mwenyezi katika karne ya saba (7).
Je? Watu wa kanuni za maumbile
wanakubaliana kwamba ndani ya
zinaa kuna uchafu? Na kama upo
ni upi? Hatuwezi kuujua uchafu wa
zinaa mpaka tutazame katika
mafundisho ya wanasayansi wa
sasa yaani MODERN SCIENTISTS ili
tujue wamekubaliana vipi na
Qur’an bila wenyewe kujua. Wakati
tunatafuta kujua uchafu wa zinaa
na madhara yake kisayansi lazima
kwanza tujue vitu vikuu vine:
(1) Uchafu ni nini?
(2) Manii yanatoka wapi kwa
mwanaume.
(3) Manii yanatoka wapi kwa
mwanamke.
(4) Na ndani ya manii mna nini.
Tunapozungumzia uchafu kwa
tafsiri ya jumla ni kitu
kilichowekwa mahala pasipostahili.
Mfano; kuchukua kiatu chenye
thamani ya laki moja ukakanyaga
matope kisha kiatu kile ukakiweka
juu ya kitanda cha kawaida na
godoro la sufi ambacho thamani
yake kwa ujumla havifiki elfu
arobaini; lakini pamoja na thamani
ya kiatu kuwa kubwa kuliko
kitanda na godoro mtu akija
atauliza huu uchafu aliyeweka
hapa juu ya kitanda ni nani? Kwa
nini aite kiatu cha gharama
uchafu? Ni kwamba kimekaa
pahala pasipostahili. Hivyo kitendo
cha mwanaume au mwanamke
kupokea au kupeleka manii yake
pahala pasipokuwa halali yake huo
ni uchafu.
Kwa upande wa mwanaume
tunapozungumzia utoaji wake wa
manii ni mfinyo wa glands(tezi) za
aina tano; ambao mfinyo huu
unapatikana baada ya mwanaume
kupata stimulation(msisimko) na
hapo ndipo tezi hizi hujibinya na
kutoa maji ya aina tano tofauti
yanayokutana katika makende na
kuchukua mbegu kisha yanatoka
katika hali na rangi ambayo wengi
tunaifahamu. Glands hizi za
mwanaume zimefungwa baina ya
kifua na mgogo.
Kwa mwanamke manii yake
yanatoka katika Glands za aina
mbili tu ambazo hizi zimefungwa
katika kifua chake. Hivyo maji haya
yanayotoka katika glands hizi mbili
yakichanganyika na ya mwanaume
jumla yanakuwa maji ya aina saba
(7) yakikaa katika pahala
panapokusudiwa kwa mwanamke
na kwa muda maalum hapo ndipo
inapopatikana mimba na kizazi cha
binadamu kinaendelea.
Baada ya kujua hatua ya mwanzo
yanapotokea manii sasa tuingie
katika hatua ya pili ya kujua je?
Ndani ya manii mna kitu gani
kitaalamu. Ndani ya manii mna vitu
vikuu vine:
• PROTEIN
• ACID
• SPERM/CHROMOSOME
• VIRUS
PROTEIN: Ni aina mojawapo ya
“Food Substance” inayorutubisha
mwili. Substance hii inapatikana
ndani ya manii na pia watu wa
mambo ya reproduction system
(mfumo wa uzazi) wanakubali
kwamba manii yanatokana na aina
hii ya chakula na ndiyo maana
kama una njaa shughuli ya Jimai
inashindikana, au kama
utajilazimisha utapata madhara.
ACID: Ni mfano wa tindikali, yaani
kitu chenye ladha ya ukali mfano
ndimu. Na kitu chenye tindikali
kina kawaida ya kuunguza na pia
kulegeza kwa itakayompata au
kumuingia, ndiyo sababu kitaalam
ukimlinganisha mwanamke
aliyeolewa na asiyeolewa kisha
akawa hafanyi zinaa maumbile yao
yanatofautiana. Yule aliyeolewa
mwili wake unakuwa laini zaidi
sababu ya acid inayopatikana
ndani ya manii. Nitakupa mifano
mingi iliyo hai ili akili yako ikubali
kwamba vyote vinavyotajwa
vinapatikana ndani ya manii.
Ukitaka kuthibitisha zaidi acid ya
katika manii ambayo inaunguza
nakulegeza hata ukiwa na kidonda
kibichi ukitia manii kitauma mara
mbili zaidi sababu ya acid. Mfano
mwingine tazama kwa wale
watoto wa kiume ambao
wanaingiliwa kinyume na
maumbile (mashoga) hata kama
zamani alikuwa strong (imara)
kiasi gani akiingiliwa tu, basi
analegea kuanzia kutembea,
kuzungumza na kila kitu sababu ni
Acid inayopatikana ndani ya manii.
Pia ndio maana inakatazwa
kumuingilia mwanamke
anayenyonyesha sababu
ukimuingilia ukamuingizia manii
ambayo yana acid, acid ile itapanda
katika maziwa na kuyaharibu
maziwa na hapo mtoto akinyonya
atanyonya maziwa yenye acid.
Itasababisha mtoto kulegea au
kwa watu wa pwani wanaita
kubemendwa, hivyo mtakua
mmemharibu mtoto. Lakini kama
atakula acid ya baba yake
hatadhurika sana, sababu atakula
acid ambayo kwa asili ndiyo
iliyomtengeneza. Ila mkeo
akiziniwa na mtu mwingine mtoto
ataathirika sana na pengine
itakuwa ni sababu ya kifo chake
kwa kuwa amekula acid ambayo si
ya asili kutoka kwa wazazi wake
hivyo itakuwa ni POISON (sumu)
kwake. Kazi kubwa ya acid kwenye
manii ni kuua bacteria zisizohusika
zinazopatikana wakati zikitoka
kuelekea katika virginal wall.
SPERM: Ni mbegu za kiume
zinazopatikana ndani ya manii na
hizi mbegu haziishi ndani ya mwili
kwa sababu ya hali ya joto la mwili,
kwani mtu wa kawaida ambaye
haumwi anakuwa na nyuzi joto 37
hivyo mbegu zitakufa kutokana na
joto la ziada. Wataalamu wa
mambo ya reproduction na
gynecology wanatueleza kwamba
mshindo mmoja una wastani wa
watoto milioni 200 hadi 300.
Lakini yanayofanikiwa kulifikia yai
ni mia moja tu. Na yanayofanikiwa
kuingia kwa kawaida ni moja au
mawili yakizidi sana manne tu, na
si zaidi ya hapo, lau kama yakizidi
basi ni kwa miujiza yake Mwenyezi
Mungu.
VIRUS: Hivi ni vijidudu ambavyo kila
mtu anavyo vya kwake na pia
haviingiliani baina ya mtu na mtu
na hapa ndipo tutaeleza kwa kina
madhara ya zinaa kisayansi. Lazima
pia tujue kuwa Virus wanafanya
kazi gani na pia wanakwenda
wapi. Katika virginal wall kuna
vijistomata (vitundu) maalum kwa
ajili ya kupokea virus; sababu
mwanaume anapotoa manii yake
yenye protein,acid,sperm/­
chromosomes na virus kila kimoja
huchukua nafasi yake kwenda
kunapohusika. Nafasi ya virus ni
kuingia katika vitundu vilivyo
katika virginal wall ili vipate kuishi
humo kwa kuwa ndipo
alipowapangia Mwenyezi Mungu.
Hivyo basi ukiwa unamuingilia
mkeo na ukitoa manii basi moja
kwa moja virus wako watakwenda
kuingia katika vijitundu vilivyo
kwenye virginal wall ili kuishi
humo. Ina maana virus
watakaoingia kuishi kwa mkeo ni
wale ambao wamezoeana. Sasa
ikija kutokea mkeo akazini na
mwanaume mwingine ataingiziwa
virus wasiokuwa wako. Hivyo
hawa wapya wakiingia nao pia
watataka kuingia katika yale
matundu ili nao wakaishi. Kwa
kuwa ndivyo alivyowapangia
Mwenyezi Mungu, hawa wapya
wakiingia tu wale wa zamani
ambao ni wa mume,
watawashangaa, watajiuliza hawa
nao wametokea wapi? Mbona si
katika wale tuliozoeana? Kwa
kushangaa huku wale virus
wenyeji watawashambulia virus
wageni kama antibody bacteria
(kitu kinachotoka nje ya mwili). Na
katika mapigano haya watapelekea
kundi moja kufa na kundi moja
likifa lazima wale waliokufa
watoke, watatoka vipi? Au
watatokea wapi? Jibu ni pale pale
walipoingilia. Hapo sasa ndipo mtu
anapoanza kutokwa uchafu. Na pia
virus wapya waliosalimika
wakiona wanazidi kushambuliwa
na virus wa zamani itabidi
watoboe sehemu nyingine
zisizohusika ili wakimbie na
kujificha katika nyama laini.
Hapo ndipo mtu anapoanza kupata
maumivu makali wakati wa
kukojoa na pia ndio chanzo cha
magonjwa mbalimbali ya zinaa, na
wakati huo mume akimuingilia
mkewe naye pia atapata ugonjwa
wa zinaa sababu atakutana na
virus wageni waliojificha kujihami
katika sehemu laini zisizohusika
watamuingia mume kupitia mrija
wa urinary truck (mrija wa mkojo).
Ndio sababu Mwenyezi Mungu
akasema zinaa ni uchafu. Na
uchafu unaokusudiwa ni
kuchanganya mifumo tofauti ya
mwili yaani mwanamke kuingiliwa
na mwanaume zaidi ya mumewe
pekee. Na hapa ndipo tunapoona
hekima ya Mwenyezi Mungu
kwamba kwa nini ameamrisha
mwanamke kuolewa na
mwanaume mmoja na mwanaume
kuoa mwanamke zaidi ya mmoja.
Hii ni kwa sababu mwanamke
anapokea manii yenye kubeba
VIRUS wa asili kutoka kwa
mumewe. Hapa ndipo
inapopatikana hekima ya ya
mwanamke aliyefiwa na mumewe
au aleyeachwa kwa talaka lazima
akae eda. Eda si tu kuangalia kama
mwanamke ana mimba, bali pia
katika kipindi cha miezi mine na
siku kumi ambacho mwanamke
anakaa eda kwa kuwa katika
kipindi hicho haingiliwi ina maana
wale virus watakosa protein
inayopatikana katika manii
ambayo ndio chakula chao, hivyo
kwa kukosa chakula watakufa.
Kwa hiyo katika kipindi hicho
mwanamke anaandaliwa ili kama
ataolewa tena na mume mwingine
huyu mume mpya ajitengenezee
mifumo yake mipya ambayo
haitapingana na ile ya mwanzo.
Hivyo Mwenyezi Mungu alipokataza
ZINAA anajua kwa kina madhara
yake.
Ndio sababu twasema kwamba
sera bora za kupambana na
magonjwa mbalimbali ya zinaa
kama UKIMWI n.k dunia nzima ni
kufuata UISLAM tu hakuna la zaidi.
Hivyo tunapenda watu walifahamu
hilo na kulifanyia kazi kwa kuwa
UISLAM siyo ugaidi wala si dini ya
vurugu bali ni dini ya AMANI
ambayo inaweza kumfaa mtu
kimwili na kiroho. Tunatoa wito
kwa watu ulimwenguni kote
kumuamini Mwenyezi Mungu wa
kweli na Mtume wake wa karne ya
sayansi na teknolojia Nabii
Muhammad (S.A.W) ili kupata nusra
ya mitihani mizito na majanga
yanayotukumba wanadamu hivi
sasa.
Share:

FAIDA ZA KULA TENDE HASA WAKATI WA KUFTURU

FAIDA ZA FUTARI YA TENDE

 https://www.passtechusa.com/g1q91wnh20?key=74e6e36ce8cf907fc9a036da06d4eda8

FUTARI YA TENDE NA FAIDA ZAKE
Na: Mujahid Mwinyimvua
“Enyi watu kuleni vilivyomo katika ardhi, halali na vizuri, wala msifuate nyayo za shetani, bila shaka yeye kwenu ni adui dhahiri (Qur‟an: 2:168). “Enyi Mlioamini kuleni vizuri tulivyokuruzukuni, na Mumshukuru Mwenyezi Mungu, ikiwa mnamuabudu yeye peke yake”. (Qur‟an: 2:172). “Na kuleni katika vile alivyokuruzukuni Mwenyezi Mungu vilivyo vizuri na halali na Mcheni Mwenyezi Mungu ambaye nyinyi mnamwamini (Qur‟an: 5: 88). “...... na kuleni (vizuri) na kunyweni (vizuri). Lakini msipite kiasi tu. Hakika yeye (Mwenyezi Mungu) hawapendi wapitao kiasi.” (Qur‟an; 7:31).
Jambo moja kubwa tunalojifunza katika aya za hapo juu ni kuwa lazima tufanye uchaguzi wa vile tunavyotaka kula. Uchaguzi huo tunapewa vigezo viwili, cha kwanza ni uhalali (halaalan) na cha pili ni ubora (twayiiban). Uchaguzi wa vyakula kwa kigezo cha uhalali hikma yake moja ni kuwasaidia watu katika jamii kuwa katika amani na utulivu wa kweli. Kwa sababu watu wakizingatia kigezo hicho watakuwa wanachuma kwa misingi ya uhalali. Yaani dhulma
mbalimbali kama vile wizi, ujambazi, rushwa, ulaghai, nchi moja kupora rasilimali za nchi ingine, biashara ya ukahaba, ushoga, usagaji, madawa ya kulevya na kupunja vipimo hazitakuwepo. Pia, rushwa ya ngono na wizi kama ule wa fedha za EPA, Richmond, kuingiza samaki wenye sumu, ujanja wa kupandisha bei ya bidhaa wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani, mambo yote hayo yasingekuwepo.
Kuhusu uchaguzi kwa kuzingatia kigezo cha pili (ubora), ni muhimu kwa uimara wa afya ya kiwiliwili. Wasomaji hasa waislamu wakumbuke kuwa ingawa vyakula vilivyo halali ni ruhusa kuvila, lakini muhimu kujua kuwa ubora wa hivyo vyakula unatofautiana kama tunavyofahamishwa na Mola wetu katika aya ifuatayo: ''Na katika ardhi muna vipande vinavyoungana (na kuzaa kwake namna mbalimbali) na muna mabustani ya mizabibu, na mimea mingine, na mitende ichipuayo katika shina moja na isiyochipua katika shina moja. Vyote vinanoshelezwa (vinamiminiwa) na maji yale yale; na tunavifanya bora baadhi yake (kuliko)

vyengine katika kula. Hakika katika haya zimo ishara kwa watu wanaotia mambo akilini''. (Raad, 13.3). Kwa kuwa ubora wa vyakula vya mimea inatofautiana, na vyakula vya nyama na samaki navyo viko tofauti kwa sababu vinategemea vyakula vinavyotokana na mimea.
Ni dhahiri kuwa watu makini watafanya uchaguzi wa vyakula kama Mwenyezi Mungu alivyowahimiza. Bahati mbaya ya mambo kwa watu wengi, wakiwemo waislamu hawajishughulishi kutafuta elimu ya kujua mambo ya vyakula. Kwa mfano, vyakula vya kukaanga na vile vya kuchemsha vipi ni hatari kwa afya ya mlaji? Ni kwa namna gani ulaji mbaya (kama vile mafuta mengi) unasababisha upungufu wa nguvu za kiume au upungufu wa nguvu za kike. Yaani, watu kushindwa au kuchukia kufanya jimai kwa mwezi au zaidi hali yakuwa wako katika ndoa. Hili ni tatizo lilanlokuwa kwa kasi hapa Tanzania, uliza madakrari au soma vitabu au magazeti utajuwa ukubwa wa tatizo hili. Allah atulinde na hilo janga.

Jambo lingine tunalojifunza kutokana na aya tulizozinakili awali (2:168, 2:172, 5:88, 7:31) ni kula kwa kiasi, yaani tusifanye israfu. Ni masikitiko makubwa kwa waislamu wengi kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani kutumia muda mwingi asubuhi mpaka jioni kuandaa vyakula vingi kuliko mahitaji. Matokeo yake vyakula hivyo vinatupwa, wakati kuna baadhi ya binadamu katika duniani hii wanakufa au watoto hudumaa kutokakana na kukosa chakula. Mtume Muhammad (s.a.w) amehimiza sana watu wawe wanapima vyakula vyao. Pia, Mtume (s.aw) amefundisha kuwa mtu akila aligawe tumbo lake sehemu tatu. Sehemu ya kwanza iwe nafasi ya chakula, ya pili maji, na ya tatu nafasi ya kuweza kupumua (hewa). Vilevile, Mtume (s.a.w) amesema mtu akila aache hali ya kuwa kidogo anasikia njaa. Kwa hakika kama tungekuwa tunafanya uchaguzi sahihi wa vyakula vyetu, kuwa na tania nzuri ya ulaji na kula kwa kiasi kama Mwenyezi Mungu na Mtume wake walivyotufundisha tunge weza kufikia lengo la pili la funga ambalo ni

kuimarisha afya ya kiwiliwili. Kuna watu baada ya funga ya Ramadhani ati uzito wao unaongezeka. Hawa walikuwa wanakula sana na hivyo, hawakunufaika kiavya na funga.
Baada ya utangulizi wa hapo juu, sasa tujikite na faida ya kufuturu kwa tende na tuone namna tende ilivyo msingi wa kuandaa futari (mlo wa futari unaoliwa baada ya kukata swaum). Kwa mujibu wa mafunzo ya Mtume Muhammad (S.A.W), mfungaji anatakiwa afungue kwa tende au maji, halafu aswali magharibi na baada ya hapo aendelee kula. Na hapa ndipo tunaposema kukata swaum na kula futari.
Turejea hadithi ifuatayo ili kuthibitisha hoja yetu ya hapo juu: Anas (r.a) ameeleza kuwa Mtume (S.A.W.) alikuwa akifungua kwa tende mbichi zilizokomaa (fresh) kabla ya kuswali (Magharibi), kama hizi hazi kuwepo alifungua kwa tende zilizowiva na kukauka (mbivu), na kama hizi hazikuwepo alikunywa mafunda machache ya maji (Tirmidh na Abu Daud). Pia tunaelezwa katika hadithi nyingine namna

Mtume (S.A.W) na Maswahaba zake walivyokuwa wanakula tende za kufuturu ni witiri (1, 3, 5, 7, n.k). Zaidi ya hayo, tukumbuke msisitizo wa Mtume (s.a.w) wa kuwahi kufuturu mara tu muda unapofika. “Watu wataendelea kuwa katika heri endapo tu watakuwa wanaharakisha kufuturu (Sahih Bukhari na Sahih Muslim) ”.
Katika kuingia ndani zaidi ya mada yetu ya leo, vema turejee wito wa Mwenyezi Mungu alioutoa katika aya tulizozinukuu hapa juu. ''Hebu Mwanadamu na atazame chakula chake” (80.24). Yaani sisi wanadamu tafakari, tuchunguze na tutafiti juu ya vyakula tunavyokula. Tukiacha kukitazama chakula katika muktadha wa Tauhiid, tunaweza kukitazama chakula katika mitazamo mingine. Mtazamo mmoja unaoendana na mada yetu, ni kukitazama chakula katika virutubisho (nutrients) vilivyomo ambavyo ndivyo vinarutubisha mwili wa mwanadamu. Tukumbuke kuwa habari ya tende ni kubwa kuanzia historia ya zao hilo, nchi zinazolima, Qur‟an inavyosema kuhusu tende, Bi Mariamu

(mama yake Yesu -A.S-) alivyokula tende wakati anajifungua, virutubisho vilivyomo ndani ya tende, manufaa ya tende kama chakula na dawa, na kadhalika. Lakini kwa makala ya leo itoshe tu kwa kutazama virutubisho (nutrients) vilivyomo ndani ya tende na faida ya tende kama chakula na dawa ili waislamu wanufaike kiafya na pia yakini yao juu ya usahihi wa dini yao uongezeke zaidi na wawe na stadi za kuwaelimisha wasiokuwa waislamu kwa kutumia lugha watakayo ielewa kwa urahisi (sayansi ya chakula).
Tukumbuke ni ahadi yake Mwenyezi Mungu aliyoisema katika Qur‟an kuwa atawaonyesha watu ushahidi wa kuwepo kwake, ukweli wa Uislamu, Mitume yake, Qur‟an, Kiyama na mambo mengine kwa kutumia mwanadanu mwenyewe na mazingira yanayo mzunguka, zikiwemo tende. Rejea Qur‟an: „Tutawaonyesha ishara zetu katika upeo wa mbali na katika nafsi zao wenyewe mpaka iwabainikie kwamba haya ni kweli. Je! Haikutoshi kwamba Mola wako Mlezi kuwa Yeye ni Shahidi wa kila kitu (Surat Fuss'ilat/H'a Mim Sajdah: 41.53).

Kufuturu kwa tende ni jambo lenye faida kubwa kama alivyohimiza Mtume (s.a.w). Maendeleo ya sayansi yanatusaidia kuongeza ufahamu wetu unaosema kuwa tende ni chakula na pia ni tunda lenye dhamani kubwa sana kwa binadamu. Ukweli huu ni kwa sasabu zifuatazo. Tende ina asilimia 60 mpaka 70 ya sukari aina ya glucose na fructose. Mtu akila tende aina hii ya sukari inanyonywa na utumbo na kuunguzwa na seli na hatimae inatoa nguvu kwa haraka. Kwa mfungaji swaum nguvu hii humpa furaha na akili yake inatuama kwa haraka. Ndio kusema haifai kufuturu kwa vyakula vigumu kama vile hindi la kuchoma au ugali. Tende pia ina vitamini aina ya C kiasi cha gramu 3, na kiasi kidogo cha vitamini B-complex. Tende zikiwa hazijawiva sana na mbichi (fresh) ndio zina vitamini nyingi zaidi. Aina hii ndiyo aliyokuwa anaitumia sana Mtume wetu (S.A.W). Vitamini mbali mbali huwezesha mwili kuwa na kinga ya kupambana na maradhi. Pia baadhi ya vitamini zinasaidia kuimarisha mbegu za kiume na kuongeza uwezekano wa kutunga

mimba. Yaani mbegu za kiume zinasafirishwa kwenda katika nyumba ya uzazi kwa msaada wa baadhi ya vitamini.
Vilevili, tende ina kiasi fulani cha maji (15% au zaidi) inategemea ilivyo andaliwa. Maji yana kazi kubwa sana mwilini. Baadhi ya kazi hizo ni kupoza mwili na kuwezesha kazi mbali mbali zinazotaka mazingira ya umajimaji kufanyika kwa ufanisi. Tende ina protini kiasi cha asilimia 2.5 na madini asilimia 2.1 (Calcium, Phosphorus, Chuma). Protini ni muhimu kwa ukuaji na ukarabati wa mwili na viungo vilivyo ndani yake. Madini yanasaidia kulinda mwili. Tende inakiasi kidogo cha mafuta (0.4%) ili kukidhi haja ya mwili na haina aina mbaya ya mafuta inayoitwa cholesterol. Mafuta yana kazi nyingi mwilini, zikiwemo kutoa nguvu na kutengeneza vitu fulani. Cholesterol pia inakazi muhimu katika mwili, kinacho takiwa mafuta hayo yasiwe mengi. Yakiwa mengi yana sababisha maradhi kama vile ya moyo, kiharusi (stroke), unene na presha. Zaidi ya neema hizo alizoumba Allah, tende ina nyuzi nyuzi za kilishe (dietary

fibres) kiasi cha asilimia 3.9%. Nyuzi nyuzi hizi zinafaida kubwa katika mwili wa mwanadamu. Kwanza zinanyonya sumu kutoka tumboni na kuitoa nje pamoja na kinyesi. Pili, zinasaidia mtu kupata choo kikubwa mara kwa mara hivyo ananusurika na tatizo la kukosa choo na ugonjwa wa kansa ya utumbo.
Kwa upande wa faida ya tende kama dawa kwa ufupi ni kuwa. Tende inasaidia kuondoa tatizo la tumbo kuuma. Hii ni kwa sababu tende inazuia vijidudu vya maradhi kukua ndani ya utumbo na pia inasaidia kukua kwa bacteria wazuri ndani ya utumbo. Kwa maneno mengine, ndani ya utumbo kuna weza kuzaliana aina mbili ya vijidudu aina ya bacteria, wale wazuri na wale wabaya. Hata hivyo, ifahamike kuwa mtu akinywa maji machafu, yasiyochemshwa au kuwekwa dawa za kuua vijidudu asitegemee kuwa tende itamsaidia. Tende haitaweza kufanya kazi hiyo, sababu umeipe mzigo mkubwa. Tende ikitiwa katika maji usiku kucha (saa 12) na isuguwe ndani ya maji hayo halafu kunywa ni asbabu ya

Allah kukunusuru na maradhi ya moyo. Wakati huo huli nyama nyekundu (ngo‟mbe, mbuzi, kondoo, n.k) kwa wingi na unafanya mazowezi ya viungo mpaka unatoka jasho. Pendelea kula nyama nyeupe kama vile samaki na kuku (sio wa kisasa). Gazeti la Daily Times la Uingereza la taerehe 12.10.2005, liliripoti kuwa samaki wanasaidi kurudisha akili za wazee ambao wanapoteza kumbukumbu. Pia inafahamika kuwa samaki na ndizi ni mlo bora kwa kujenga akili za watoto. Haya kina mama na kina baba msikose kuandaa mlo huo kwa watoto wenu.
Zaidi ya hayo, tende inaimarisha nguvu za kiume na hivyo kuleta maelewano ndani ya familia. Tende kiasi cha kiganja kimoja ukiziloweka ndani ya maziwa (fresh) ya mbuzi kwa usiku mmoja (overnight) na halafu zisage tende humo humo ndani ya maziwa (toa mbegu). Ongeza unga kidogo wa cardamom (uliza maduka ya dawa za kiarabu, kihindi, n.k) utengeneze na asali kidogo katika mchanganjyiko huo, nguvu za kiume zitaimarika na mbegu za uzazi zitakuwa na

afya ya kuchangia mimba kushika kwa idhini yake Mwenyezi Mungu. Si vizuri kutumia dawa za dukani. Kama huna budi kuzitumia dawa za dukani, lazima upate maelekezo ya daktari. Tukumbuke siku hizi kuna biashara kubwa ya dawa za kukuza makalio, mapaja (hips), matiti na viungo vya uzazi vya kiume/kike. Kwahiyo, bila kupata uashauri kutoka kwa madaktari waaminifu kuna hatari kubwa ya kupata dawa ambazo zitapoteza kabisa nguvu zako za kiume au za kike. Muhimu fanya uchaguzi wa vyakula na fanya mazowezi ya viungo. Pia pata muda wa kupumzika.
Watoto wanaokaribia kuota meno husumbuliwa na tumbo la kuharisha. Mtengenezee mtoto juisi nzito ya tende na asali kidogo (changanya), mpe kijiko kimoja mara tatu kwa siku. Tumbo litapona na meno yatakuwa imara kwa idhini yake Mola wetu. Hata hivyo, kuhusu tende pia tuzingatie ushauri ufuatao: Tende zina nasa vumbi na uchafu mwingine. Kwa hiyo, nunua tende safi iliyofungwa vizuri na kama unawasiwasi nayo ioshe na maji safi kabla ya kuila.

Kwa kuzingatia manufaa yapatikanayo ndani ya tende ni vizuri kwa kutumia mlango wa kiasi kuona msingi wa kuandaa mlo wa futari unaofaa. Kwanza mlo wa futari tunaokula baada ya kukata swaumu na kuswali Magharibi uwe laini na uandaliwe na vyakula ambavyo ni rahisi kusagwa tumboni. Pili, vyakula hivyo viwe vitamu, ila visiwe na sukari nyingi sana. Mfano wa vyakual hivyo ni ndizi zilizoiva na kupikwa, viazi, maharage, mihogo na vingine mithili ya hivyo. Vyakula vya futari (na vingine) visiwekwe chumvi nyingi wala mafuta mengi. Kama mafuta watu watumie yanayotokana na mimea. Mawese, alizeti, ufuta, mahindi ni miongoni mwa mafuta bora kabisa. Mboga za majani na matunda (au juisi) ni muhimu wakati wa kula futari. Ikumbukwi juisi bora ni ile ya kuandaliwa bila kuwekwa chemikali. Inasikitisha kuona watu hasa Dar es Salaam wakifuturu kwa kutumia soda au juisi ya viwandani zenye utamu sana. Huu utamu unatokana na chemikali ambayo kiafya ni hatari. Nadhani wasomaji mtakumbuka zamani kulikuwa na vipakiti ukichangab ya na maji unapata

juisi. Kimoja unachanganya na maji ndoo moja au jagi moja. Hii pakiti ina chemikali ambayo ni tamu mara kadhaa ya sukari. Mpaka umeshajifunza tende na umuhimu wa kutafuta elimu zaidi ya mambo ya vyakula.
Share:

Popular Posts

Powered by Blogger.

Recent Posts